Shughuli mbalimbali zafanyika sehemu mbalimbali za China kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani (6)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 07, 2025
Shughuli mbalimbali zafanyika sehemu mbalimbali za China kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani
Wanawake waliovalia mavazi ya kijadi ya Hanfu wakipiga picha katika mji wa kale wa Zhujiajiao mjini Shanghai, Mashariki mwa China, Machi 6, 2025. (Xinhua/Fang Zhe)

Shughuli mbalimbali zinafanyika katika sehemu mbalimbali nchini China kwa ajili ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani ya Tarehe 8 Machi kila mwaka. 

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha