

Lugha Nyingine
Mji wa Beijing watuma treni ya kwanza ya mizigo ya China-Ulaya katika mwaka 2025 (7)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) April 17, 2025
![]() |
Chombo cha kubeba kontena kikipakia kontena kwenye treni ya mizigo ya China-Ulaya inayoelekea Mji wa Moscow, Russia kwenye kituo cha uchukuzi mjini Beijing, mji mkuu wa China, Aprili 16, 2025. (Xinhua/Zhang Chenlin) |
Mji wa Beijing wa China jana Jumatano umetuma treni yake ya kwanza ya mizigo ya China-Ulaya katika mwaka 2025. Inakadiriwa kuwa treni hiyo itasafiri umbali wa kilomita takriban 9000 kwa siku 16 hadi kufika Ulaya.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma