

Lugha Nyingine
Watu wa sehemu mbalimbali China watoa heshima kwa wahanga kabla ya Siku ya Qingming
(Tovuti ya Gazeti la Umma) April 03, 2025
![]() |
Watu wakitoa heshima kwa mnara wa kumbukumbu ya wahanga mjini Hohhot, Mkoa unaojiendesha wa Mongolia ya Ndani, Kaskazini mwa China, Aprili 2, 2025. (Xinhua/Bei He) |
Watu wa sehemu mbalimbali nchini China wameshiriki kwenye shughuli za kufagia makaburi na kutoa heshima kwa wahanga kabla ya Siku ya Qingming ya Tarehe 4 Aprili mwaka huu, ambayo ni siku ya jadi kwa Wachina kukumbuka watu waliojitolea mihanga na kukumbuka mababu.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma