

Lugha Nyingine
Maonyesho ya Canton yafunguliwa yakiwa na idadi yenye kuvunja rekodi ya waonyeshaji bidhaa
(Tovuti ya Gazeti la Umma) April 16, 2025
![]() |
Mtu akipiga picha nje ya ukumbi wa Maonyesho ya 137 ya Uagizaji na Uuzaji Nje Bidhaa ya China mjini Guangzhou, Mkoa wa Guangdong, kusini mwa China, Aprili 15, 2025. (Xinhua/Deng Hua) |
Maonyesho ya 137 ya Uagizaji na Uuzaji Nje Bidhaa ya China, ambayo pia yanajulikana kwa jina la Maonyesho ya Canton, yameanza jana Jumanne mjini Guangzhou, Mkoani Guangdong, kusini mwa China, huku idadi ya waonyeshaji bidhaa za kuuzwa nje wakizidi 30,000 kwa mara ya kwanza katika historia ya maonyesho hayo maarufu duniani.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma