

Lugha Nyingine
Wanyama waonekana kwenye Bahari ya Amundsen wakati wa Utafiti wa Kisayansi wa China wa Bahari ya Antaktika
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 15, 2024
![]() |
Picha hii iliyopigwa tarehe 8, Januari 2024 ikimwonesha sili akiwa kwenye eneo la Bahari ya Amundsen. (Xinhua/Zhou Yuan) |
Meli ya utafiti ya China ya kupasua barafu “Xuelong 2” inafanya utafiti wa Bahari ya Antaktika kwenye Bahari ya Amundsen, ambako wanyama mbalimbali wanaweza kuonekana.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma