

Lugha Nyingine
Wanyama waonekana kwenye Bahari ya Amundsen wakati wa Utafiti wa Kisayansi wa China wa Bahari ya Antaktika (2)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Januari 15, 2024
![]() |
Picha iliyopigwa tarehe 6, Januari, 2024 ikionesha nyangumi aina ya minke akiwa kwenye Bahari ya Amundsen. (Picha na Chen Dongbin/Xinhua) |
Meli ya utafiti ya China ya kupasua barafu “Xuelong 2” inafanya utafiti wa Bahari ya Antaktika kwenye Bahari ya Amundsen, ambako wanyama mbalimbali wanaweza kuonekana.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma