

Lugha Nyingine
Mkutano wa Tenolojia ya 5G + Intaneti ya Viwandani wa China waanza mjini Wuhan
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Novemba 21, 2023
WUHAN - Mkutano wa Tenolojia ya 5G + Intaneti ya Viwandani wa China kwa Mwaka 2023 umefunguliwa mjini Wuhan katika Mkoa wa Hubei katikati mwa China ukiwa na shughuli mbili kuu za mada na mikutano karibu 20 inayohusiana. Pia mkutano huo utakuwa na maonyesho juu ya mafanikio ya uvumbuzi wa “Teknolojia ya 5G + inteneti ya viwandani".
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma