

Lugha Nyingine
China yarusha kundi jipya la satelaiti za kuhisi kwa mbali kwenye anga ya juu
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 01, 2023
XICHANG - China imerusha roketi ya kubeba ya Long March-2D siku ya Alhamisi kwa ajili ya kubeba na kuweka kundi la satelaiti tatu za kuhisi kwa mbali kwenye anga ya juu.
Satelaiti hizo tatu za familia ya Yaogan-39 zimerushwa Saa 9:36 alasiri (Kwa saa za Beijing) kutoka Kituo cha Urushaji Satelaiti cha Xichang kilichoko katika Mkoa wa Sichuan, Kusini Magharibi mwa China na kuingia kwenye obiti iliyopangwa.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma