

Lugha Nyingine
Teknolojia na mashine za kisasa za kilimo zatumika katika uvunaji wa mazao wa majira ya joto huko Tianjin, Kaskazini mwa China (2)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Juni 12, 2023
Uvunaji wa mazao ya kilimo wa majira ya joto huko Tianjin, Kaskazini mwa China umeanza. Teknolojia na mashine za kisasa za kilimo zimetumika katika eneo hilo kusaidia wakulima wenyeji kuongeza uzalishaji wa kilimo na kupata mavuno mengi.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma