Wanaanga wa China kwenye Chombo cha Shenzhou-15 wamaliza matembezi ya nne kwenye anga ya juu, na kuweka rekodi ya China (2)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) April 17, 2023

https://english.news.cn/20230416/350767d9534446b09b1e7bc812506270/d07479e81a8d49f0b7c5dbb06e7ef4f9.jpg

Picha hii iliyopigwa kwenye skrini katika Kituo cha Udhibiti wa Anga cha Beijing Aprili 15, 2023 ikionyesha mwanaanga wa China kwenye Chombo cha Shenzhou-15 Fei Junlong (kushoto) akiwa tayari kuondoka kwenye moduli ya maabara ya Wentian. (Xinhua/Guo Zhongzheng)

(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)

Picha