Lugha Nyingine
Teknolojia za kisasa zaonyeshwa kwenye Maonyesho ya Kimataifa ya Tasnia ya Data Kubwa ya China 2026 mkoani Guiyang (2)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Agosti 31, 2026
Maonyesho ya Kimataifa ya Tasnia ya Data Kubwa ya China 2026, yalianza Ijumaa katika Mji wa Guiyang, Mkoa wa Guizhou, kusini magharibi mwa China. Maonyesho hayo yananyesha teknolojia mpya za kisasa katika sekta kadhaa muhimu ikiwa ni pamoja na miundombinu ya nguvu ya kompyuta, usambazaji wa data, uvumbuzi unaoendeshwa na modeli ya AI, ulinzi wa usalama, na shughuli za kujaribu vifaa vilivyounganishwa na AI.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Renato Lu)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma




