Mji wa Mudanjiang, China waharakisha kurejesha utoaji wa maji na umeme katika maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko (3)

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 21, 2026
Mji wa Mudanjiang, China waharakisha kurejesha utoaji wa maji na umeme katika maeneo yaliyoathiriwa na mafuriko
Wafanyakazi wakikagua njia za umeme ili utoaji wa umeme urejeshwe kwenye hali ya kawaida katika mji wa wilaya Ning'an ya Mji wa Ning'an, huko Mudanjiang, Mkoa wa Heilongjiang, kaskazini mashariki mwa China, Julai 20, 2026. (Picha na Zhang Chunxiang/Xinhua)

Kadiri mafuriko yanavyopungua, ndivyo idara za utoaji wa maji na umeme katika Mji wa Mudanjiang zinavyoongeza juhudi za kurejesha huduma za utoaji maji na umeme katika maeneo yaliyoathiriwa na maafa. 

(Wahariri wa tovuti:Liu Mengxue,Zhao Jian)

Picha