Lugha Nyingine
Kupatwa kwa mwezi kikamilifu kwashuhudiwa katika sehemu mbalimbali nchini China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 04, 2026
![]() |
| Mwezi ukionekana katika hali ya kupatwa kikamilifu katika Mji wa Qiqihar, Mkoa wa Heilongjiang, kaskazini mashariki mwa China, Machi 3, 2026. (Picha na Wang Yonggang/Xinhua) |
Jana tarehe 15 ya mwezi wa kwanza kwa kalenda ya kilimo ya China ilikuwa ni Sikukuu ya Taa ya Jadi. Sikukuu hiyo ya mwaka huu imeambatana na siku ya mwezi kupatwa kikamilifu, hali ambayo imeshuhudiwa katika sehemu mbalimbali nchini China.
(Wahariri wa tovuti:Liu Mengxue,Zhao Jian)

"Tamasha la Maolong" la kabila la Wayilao lasherehekewa kwa ngoma ya dragoni mkoani Guizhou, China

Mji mkongwe wa Wuzhen, China wazindua shughuli mbalimbali wakati wa Mwaka Mpya wa Jadi wa China

Hong Kong Yasherehekea Mwaka Mpya wa Jadi wa Farasi wa China kwa Maonyesho ya Fataki

Ufunguzi ya Michezo ya Olimpiki ya Majira ya Baridi ya Milan-Cortina mwaka 2026
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
