Sikukuu ya Jadi ya Taa ya China yasherehekea mkoani Zhejiang

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 04, 2026
Sikukuu ya Jadi ya Taa ya China yasherehekea mkoani Zhejiang
Picha iliyopigwa Machi 3, 2026 ikionesha sherehe ya Sikukuu ya Jadi ya Taa ya China katika Mji wa Jiande, Mkoa wa Zhejiang wa China. (Xinhua/Xu Yu)

Sherehe ya Sikukuu ya Jadi ya Taa ya China imefanyika katika Mkoa wa Zhejiang, mashariki mwa China jana Jumanne, ikivutia watalii wengi kutazama.

Katika sehemu mbalimbali nchini China, shughuli za aina mbalimbali zimefanyika katika siku hiyo ili kusherehekea Sikukuu hiyo ya Jadi ya Taa, ambayo husherehekewa katika siku ya 15 ya mwezi wa kwanza kwa kalenda ya jadi ya China, au tarehe 3, Machi mwaka huu.

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha