

Lugha Nyingine
Kutembelea tena jumba la ukumbusho wa makao makuu ya zamani ya Jeshi Jipya la Nne Anhui, China (2)
Jumba la ukumbusho wa makao makuu ya zamani ya Jeshi Jipya la Nne liko katika Tarafa ya Yunling ya Wilaya ya Jingxian katika Mji wa Xuancheng, Mkoa wa Anhui, China, eneo la jumba hilo ni la mita za mraba 20,000. Jeshi Jekundu la Nne lilikuwa moja kati ya majeshi ya kupigana vita na wavamizi wa China chini ya uongozi wa Chama cha Kikomunisti cha China.
Jumba hili ni moja ya maeneo muhimu ya urithi chini ya ulinzi wa serikali ya China, na lilijengwa kwenye msingi wa mabaki ya sehemu 11 za makao makuu ya zamani ya Jeshi Jipya la Nne yalikuwepo huko Yunling kutoka mwaka 1938 hadi 1941, wakati wa Vita vya Watu wa China vya Kupambana na Uvamizi wa Wajapan.
Wilaya ya Xuan’en yahimiza utalii wa usiku kando ya Mto Gongshui Katikati mwa China
Eneo la mtaa mkongwe lawa na ustawi kwa uvumbuzi wa kitamaduni na utalii mkoani Jiangxi, China
Mji wa Tianjin, China waharakisha ufungamanishaji wa uchumi wa kidijitali na uchumi halisi
Ardhioevu yalinda spishi za ndege kutoka kwenye uwanda hadi mijini
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma