

Lugha Nyingine
Papa Francis afariki dunia akiwa na umri wa miaka 88 (2)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) April 22, 2025
ROME – Papa Francis amefariki dunia jana Jumatatu mjini Vatican akiwa na umri wa miaka 88, taarifa iliyotolewa na kanisa la romani katolini, Vatican imesema. Akiwa alizaliwa na kupewa jina la Jorge Mario Bergoglio Desemba 17, 1936, mjini Buenos Aires, Argentina, Papa Francis amekuwa akihudumu kama kiongozi wa Kanisa la Katoliki Duniani tangu Mwaka 2013.
(Wahariri wa tovuti:Zhou Linjia,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma