

Lugha Nyingine
Wilaya ya Kabila la Watajik ya Taxkorgan, Xinjiang, China yatumia urithi wa kitamaduni kukuza utalii (3)
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 25, 2025
Wilaya inayojiendesha ya Kabila la Watajik ya Taxkorgan, Mkoani Xinjiang unajivunia urithi mbalimbali wa kitamaduni usioshikika.
Katika wakati huu wa kipindi cha mlingano wa usiku na mchana wa Majira ya Mchipuko, ambacho ni kipindi cha nne cha mzunguko wa jua katika kalenda ya kilimo ya China, ambacho kiliangukia Machi 20 mwaka huu, wilaya hiyo imekuwa ikifungamanisha rasilimali zake za mazingira na utamaduni wake wa jadi wa kikabila kufanya maonyesho ya urithi wa kitamaduni usioshikika na shughuli za kitamaduni na michezo, kama njia ya kuvutia watalii na kutangaza utalii wake katika majira ya mchipuko.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma