

Lugha Nyingine
Kilimo cha kisasa chaendelea katika Wilaya ya Bohu, Kaskazini Magharibi mwa China
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Machi 22, 2023
Katika miaka ya hivi karibuni Wilaya ya Bohu imetoa kipaumbele cha juu kwa maendeleo ya kilimo cha kisasa. Teknolojia za hali ya juu zimeongeza kasi mpya katika ustawishaji na maendeleo ya kilimo vijijini.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma