

Lugha Nyingine
China yafaulu kurusha satelaiti E ya Tianlian No.1
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 13, 2021
(Picha inatoka Tovuti ya Gazeti la China Xinhua)
Saa 5:53 usiku wa Tarehe 6, Julai, China imefaulu kurusha satelaiti E ya Tianlian No.1 kwa maroketi ya C ya Changzheng No.3 kwenye obiti iliyopangiwa kwenye anga ya juu kutoka kituo cha kurusha satelaiti ya Xichang. Kazi hii ya kurusha satelaiti imefanikiwa vizuri.
(Wahariri wa tovuti:Li Yidan,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma