Rais Trump asema asilimia 19 ya ushuru itatozwa kwa bidhaa za Indonesia

(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 16, 2025

Rais wa Marekani Donald Trump akitembea kuelekea Rose Garden ya White House mjini Washington, D.C., Marekani, tarehe 15 Julai 2025. (Xinhua/Hu Yousong)

Rais wa Marekani Donald Trump akitembea kuelekea Rose Garden ya White House mjini Washington, D.C., Marekani, tarehe 15 Julai 2025. (Xinhua/Hu Yousong)

NEW YORK - Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza jana Jumanne kwamba ushuru wa asilimia 19 utatozwa kwa bidhaa kutoka Indonesia wakati Marekani haitalipa chochote, akisema kuwa Marekani itaweza kuingia kwa pande zote kwenye soko la Indonesia, vyombo vya habari vya Marekani vimeripoti.

Awali siku hiyo, Trump aliandika kwenye jukwaa lake la mtandao wa kijamii, Truth Social: "Makubaliano makubwa, kwa kila mmoja, nimeyafanya punde na Indonesia. Nimeshughulika moja kwa moja na Rais wao anayeheshimiwa sana." 

Rais wa Marekani Donald Trump akizungumza na  waandishi wa habari kwenye Ikulu ya White House mjini Washington, D.C., Marekani, tarehe 15 Julai 2025. (Xinhua/Hu Yousong)

Rais wa Marekani Donald Trump akizungumza na waandishi wa habari kwenye Ikulu ya White House mjini Washington, D.C., Marekani, tarehe 15 Julai 2025. (Xinhua/Hu Yousong)

Rais wa Marekani Donald Trump akijibu maswali kutoka kwa waandishi wa habari kwenye Ikulu ya White House mjini Washington, D.C., Marekani, tarehe 15 Julai 2025. (Xinhua/Hu Yousong)

Rais wa Marekani Donald Trump akijibu maswali kutoka kwa waandishi wa habari kwenye Ikulu ya White House mjini Washington, D.C., Marekani, tarehe 15 Julai 2025. (Xinhua/Hu Yousong)

(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)

Picha