

Lugha Nyingine
Waziri Mkuu asema China inasimama kidete kutetea haki zake na usawa wa kimataifa dhidi ya shinikizo la ushuru la Marekani
(CRI Online) Julai 08, 2025
Ikikabiliwa na shinikizo la ushuru la Marekani, China inasimama kidete kutetea haki na maslahi yake na kushikilia usawa na haki ya kimataifa, Waziri Mkuu wa China Li Qiang amesema jana Jumatatu alipokutana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Biashara Duniani (WTO) Ngozi Okonjo-Iweala.
Waziri Mkuu Li amekutana na mkurugenzi mkuu huyo wa WTO pembezoni mwa Mkutano wa 17 wa Kilele wa BRICS uliofanyika kwa siku mbili za Jumapili na jana Jumatatu mjini Rio de Janeiro, Brazil.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma