

Lugha Nyingine
Baraza la Usalama la UN larefusha muda wa vikwazo dhidi ya DRC
Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa (UN) jana Jumatatu limepitisha azimio la kurefusha muda wa vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) kwa mwaka mmoja zaidi hadi tarehe 1 Julai 2026.
Azimilo hilo la Baraza la Usalama lililorefushwa linaweka vikwazo vya silaha kwa makundi yenye silaha nchini DRC, marufuku ya kusafiri kwa watu binafsi na kuzuia mali kwa watu binafsi na mashirika yaliyotajwa na kamati ya vikwazo ya DRC.
Azimio hilo namba 2783 lililoungwa mkono kwa pamoja na nchi 15 wajumbe wa Baraza la Usalama, pia limeamua kurefusha muda wa jopo la wataalam wanaosaidia Kamati ya Vikwazo ya DRC hadi tarehe 1 Agosti 2026.
Kituo cha mafunzo cha Bajiquan mkoani Hebei, China chakaribisha wanafunzi kutoka Russia
Picha: Mandhari ya mbuga katika majira ya joto mkoani Gansu, China
Bustani ya Kimataifa ya Pump Track ya Shenyang, China: Utambulisho Mpya wa Michezo Mjini
Ukumbi wa Kuutazama Mji wa “Kilele cha Tianjin” wa China wafunguliwa rasmi kwa umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma