

Lugha Nyingine
Rais Xi kufanya ziara nchini Vietnam, Malaysia na Cambodia
(CRI Online) April 14, 2025
Rais Xi Jinping wa China atafanya ziara za kitaifa nchini Vietnam, Malaysia na Cambodia kuanzia tarehe 14 hadi 18, Aprili, kwa mujibu wa habari iliyochapishwa na Shirika la Xinhua.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma