

Lugha Nyingine
Xi Jinping achapisha makala aliyoandika na kuitia saini katika chombo cha habari cha Peru
(CRI Online) Novemba 15, 2024
Rais Xi Jinping wa China ambaye yupo kwenye ziara ya kiserikali mjini Lima nchini Peru na kuhudhuria Mkutano wa 31 wa Viongozi wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiuchumi ya Asia Pasifiki (APEC), siku ya Alhamisi amechapisha makala aliyoiandika na kuitia saini yenye kichwa "Acha Meli ya Urafiki kati ya China na Peru Ianze Safari" kwenye gazeti la El Peruano la Peru.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma